Mchakato huru
Kwa habari, matukio, muziki ,jamii, siasa, elimu,mapenzi na mahusiano Mchakato huru ndio jibu lako
Labels
Home
Mapenzi
Michezo
Muziki
News
Vituko
TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni
Nchini Tanzania baadhi ya vijana wamekuta picha zao wakiwa uchi zikienezwa katika
mitandao ya kijamii kutokana na matumizi mabaya ya mitandao hiyo.
Baadhi yao wanasema picha hizo huwekwa bila idhini yao na wapenzi au hata marafiki kwa lengo la kukomoana au kudhalilishana kimapenzi.
Newer Post
Older Post
Home