Mh. Sugu, Faiza Ally na mtoto wao Sasha
Muigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe
wa muziki wa kizazi
kipya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu ! well....kupiia Instagram Faiza
ameandika maneno yanayoonyesha amemwagana na Mh.Sugu ambaye pia ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema. Faiza aliandika........ Muigizaji wa filamu nchini FaizaAlly amemwagana na mwanamuziki mkongwe