TAMASHA LA SERENGETI FIESTA LAPAGAWISHA MJINI MOROGORO

 baba levo pamoja na peter msechu hawakuwa nyuma kwani walitoa burudani za kutosha bila kufanya makosa

 

 lakini mashabiki hawakubaki nyuma pia nao walitoa ushilikiano wakutosha



 makomando pia hawakuwa nyuma kwani walifanya vilivyo walishambulia juu kwaa kwa sana